Skip to content
Kutoka 4:10-12

Kutoka 4:10-12

10
Mose akamwambia Bwana, “Ee Bwana, kamwe sijapata kuwa msemaji kwa ufasaha wakati uliopita wala tangu ulipoanza kuzungumza na mtumishi wako. Ulimi wangu ni mzito kuzungumza.”
11
Bwana akamwambia, “Ni nani aliyempa mwanadamu kinywa? Ni nani aliyemfanya mtu kuwa kiziwi au bubu? Ni nani anayempa mtu kuona au upofu? Je, si mimi, Bwana?
12
Sasa nenda, nitakusaidia kusema, nami nitakufundisha jambo la kusema.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options