Skip to content
Kutoka 39:42-43

Kutoka 39:42-43

42
Waisraeli walikuwa wamefanya kazi yote sawasawa na vile Bwana alivyokuwa amemwagiza Mose.
43
Mose akakagua kazi na kuona kuwa walikuwa wameifanya sawasawa kama vile Bwana alivyokuwa ameagiza. Kwa hiyo Mose akawabariki.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options