Skip to content
Kutoka 36:14-15

Kutoka 36:14-15

14
Wakatengeneza mapazia kumi na moja ya singa za mbuzi kwa ajili ya kufunika maskani.
15
Mapazia hayo kumi na moja yalikuwa na kipimo kimoja, yaani urefu wa dhiraa thelathini, na upana wa dhiraa nne.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options