Naar de inhoud
Kutoka 34:32-35

Kutoka 34:32-35

32
Baadaye Waisraeli wote wakamkaribia, naye akawapa amri zote Bwana alizompa katika Mlima wa Sinai.
33
Mose alipomaliza kuzungumza nao, akaweka utaji kwenye uso wake.
34
Lakini kila wakati Mose alipoingia mbele za Bwana kuzungumza naye, aliondoa ule utaji mpaka alipotoka nje. Naye alipotoka nje na kuwaambia Waisraeli lile ambalo ameagizwa,
35
waliona kuwa uso wake unangʼaa. Kisha Mose angeliweka tena utaji juu ya uso wake mpaka alipokwenda kuzungumza na Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options