Skip to content
Kutoka 35:1-3

Kutoka 35:1-3

1
Mose akakusanya jumuiya yote ya Waisraeli na kuwaambia, “Haya ndiyo mambo ambayo Bwana amewaamuru ninyi mfanye:
2
Kwa siku sita, mtafanya kazi, lakini siku ya saba itakuwa takatifu kwenu, Sabato ya kupumzika kwa Bwana. Yeyote atakayefanya kazi yoyote siku hiyo ni lazima auawe.
3
Msiwashe moto mahali popote katika makazi yenu siku ya Sabato.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options