Skip to content
Kutoka 21:12-14

Kutoka 21:12-14

12
“Yeyote ampigaye mtu na kumuua ni lazima auawe hakika.
13
Hata hivyo, kama hakumuua kwa makusudi, lakini Mungu akaruhusu itendeke, basi atakimbilia mahali nitakapomchagulia.
14
Lakini kama mtu akipanga na kumuua mwingine kwa makusudi, mwondoe katika madhabahu yangu na kumuua.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options