Skip to content
Kutoka 20:25-26

Kutoka 20:25-26

25
Ikiwa unanitengenezea madhabahu ya mawe, usiijenge kwa mawe ya kuchonga, maana mkitumia chombo cha kuchongea mtaitia unajisi.
26
Msitumie ngazi kupandia kwenye madhabahu yangu, uchi wako usije ukadhihirika kwa chini.’
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options