Skip to content
Kutoka 21:1

Kutoka 21:1

Inaonyesha mstari 1 pamoja na muktadha unaouzunguka.
1
“Hizi ndizo sheria utakazoweka mbele ya Waisraeli:
2
“Kama ukimnunua mtumwa wa Kiebrania, atakutumikia kwa miaka sita. Lakini katika mwaka wa saba, atakuwa huru naye atakwenda zake pasipo kulipa chochote.
3
Kama akija peke yake, atakwenda huru peke yake, lakini kama akija na mke, ataondoka pamoja naye.
4
Kama bwana wake alimpatia mke naye akamzalia wana au binti, mwanamke pamoja na watoto wake watakuwa mali ya bwana wake na huyo mwanaume ataondoka peke yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options