Skip to content
Kutoka 2:1-3

Kutoka 2:1-3

1
Basi mtu mmoja wa nyumba ya Lawi akaoa mwanamke Mlawi,
2
naye mwanamke huyo akapata mimba, akazaa mtoto wa kiume. Alipoona mtoto huyo ni mzuri, akamficha kwa miezi mitatu.
3
Lakini alipoona hawezi kumficha zaidi, akamtengenezea kisafina cha mafunjo, akakipaka lami. Kisha akamweka huyo mtoto ndani yake, akakificha katikati ya matete kando ya ukingo wa Mto Naili.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options