Kutoka 18:1-2
1
Basi Yethro, kuhani wa Midiani, baba mkwe wa Mose, akawa amesikia kila kitu Mungu alichomfanyia Mose na watu wake wa Israeli, pia jinsi Bwana alivyowatoa Israeli Misri.
2
Baada ya Mose kumrudisha mkewe Sipora, Yethro baba mkwe wake alimpokea