Skip to content
Kutoka 16:2-3

Kutoka 16:2-3

2
Huko jangwani hiyo jumuiya yote wakawanungʼunikia Mose na Aroni.
3
Waisraeli wakawaambia, “Laiti tungelikufa kwa mkono wa Bwana huko Misri! Huko tuliketi tukizunguka masufuria ya nyama na tukala vyakula tulivyovitaka, lakini ninyi mmetuleta huku jangwani ili mpate kuua mkutano huu wote kwa njaa.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options