Skip to content
Kutoka 10:3-5

Kutoka 10:3-5

3
Kwa hiyo Mose na Aroni wakaenda kwa Farao na kumwambia, “Hili ndilo Bwana, Mungu wa Waebrania, asemalo: ‘Utaendelea hata lini kukataa kunyenyekea mbele yangu? Waachie watu wangu waende, ili wapate kuniabudu.
4
Kama ukikataa kuwaachia waende, kesho nitaleta nzige katika nchi yako.
5
Nao watafunika uso wa ardhi hata usionekane. Watatafuna mabaki machache yaliyobakizwa baada ya ile mvua ya mawe, yaani pamoja na kila mti unaoota katika mashamba yenu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options