Skip to content
Kutoka 1:1-5

Kutoka 1:1-5

1
Haya ndiyo majina ya wana wa Israeli ambao walikwenda Misri na Yakobo, kila mmoja akiwa pamoja na jamaa yake:
2
Reubeni, Simeoni, Lawi na Yuda;
3
Isakari, Zabuloni na Benyamini;
4
Dani na Naftali, Gadi na Asheri.
5
Wazao wote wa Yakobo walikuwa watu sabini; Yosefu alikuwa tayari yuko Misri.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options