Skip to content
Kutoka 1:1-7

Wana wa Israeli Wakaaji na Kuongezeka

Kutoka 1:1-7
1
Haya ndiyo majina ya wana wa Israeli ambao walikwenda Misri na Yakobo, kila mmoja akiwa pamoja na jamaa yake:
2
Reubeni, Simeoni, Lawi na Yuda;
3
Isakari, Zabuloni na Benyamini;
4
Dani na Naftali, Gadi na Asheri.
5
Wazao wote wa Yakobo walikuwa watu sabini; Yosefu alikuwa tayari yuko Misri.
6
Basi Yosefu na kaka zake wote na kizazi kile chote walikufa,
7
lakini Waisraeli walikuwa wamezaana na kuongezeka sana, idadi yao ikawa kubwa mno, kwa hiyo wakaijaza nchi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options