Skip to content
Esta 7:1-2

Esta 7:1-2

1
Basi mfalme na Hamani wakaenda kula chakula pamoja na Malkia Esta.
2
Walipokuwa wakinywa mvinyo katika siku ya pili, mfalme akauliza tena, “Malkia Esta, ni nini haja yako? Utapewa. Ombi lako ni nini? Hata nusu ya ufalme, utapewa.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options