Skip to content
Waefeso 5:30-32

Waefeso 5:30-32

30
Sisi tu viungo vya mwili wake.
31
“Kwa sababu hii, mwanaume atamwacha baba yake na mama yake, naye ataambatana na mkewe, na hao wawili watakuwa mwili mmoja.”
32
Siri hii ni kubwa, bali mimi nanena kuhusu Kristo na Kanisa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options