Skip to content
Waefeso 5:28-29

Waefeso 5:28-29

28
Vivyo hivyo imewapasa waume kuwapenda wake zao kama miili yao wenyewe. Ampendaye mkewe hujipenda mwenyewe.
29
Hakuna mtu anayeuchukia mwili wake mwenyewe, bali huulisha na kuutunza vizuri, kama Kristo anavyolitunza Kanisa lake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options