Skip to content
Waefeso 5:25-27

Waefeso 5:25-27

25
Ninyi waume, wapendeni wake zenu, kama vile Kristo alivyolipenda Kanisa akajitoa kwa ajili yake
26
kusudi alifanye takatifu, akilitakasa kwa kuliosha kwa maji katika Neno lake,
27
apate kujiletea Kanisa tukufu lisilo na doa wala kunyanzi au waa lolote, bali takatifu na lisilo na hatia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options