Skip to content
Waefeso 4:1-3

Waefeso 4:1-3

1
Basi, mimi niliye mfungwa wa Bwana, nawasihi mwenende kama inavyostahili wito wenu mlioitiwa.
2
Kwa unyenyekevu wote na upole, mkiwa wavumilivu, mkichukuliana kwa upendo.
3
Jitahidini kudumisha umoja wa Roho katika kifungo cha amani.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options