Skip to content
Waefeso 4:1-2

Waefeso 4:1-2

1
Basi, mimi niliye mfungwa wa Bwana, nawasihi mwenende kama inavyostahili wito wenu mlioitiwa.
2
Kwa unyenyekevu wote na upole, mkiwa wavumilivu, mkichukuliana kwa upendo.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options