Rukia maudhui
Waefeso 3:9-12

Waefeso 3:9-12

9
na kuweka wazi kwa kila mtu siri hii iliyokuwa imefichwa tangu zamani katika Mungu, aliyeumba vitu vyote.
10
Ili sasa kwa njia ya Kanisa, hekima yote ya Mungu ipate kujulikana kwa watawala na wenye mamlaka katika ulimwengu wa roho,
11
sawasawa na kusudi lake la milele katika Kristo Yesu Bwana wetu.
12
Ndani yake na kwa njia ya imani katika yeye twaweza kumkaribia Mungu kwa uhuru na kwa ujasiri.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options