Rukia maudhui
Mhubiri 7:11-14

Faida na Mipaka ya Hekima

Mhubiri 7:11-14
11
Hekima, kama ulivyo urithi, ni kitu chema na huwafaidia wale walionalo jua.
12
Hekima ni ulinzi kama fedha ilivyo ulinzi, lakini faida ya maarifa ni hii: kwamba hekima huhifadhi maisha ya aliye nayo.
13
Tafakari kile Mungu alichokitenda: Nani awezaye kunyoosha kile ambacho yeye amekipinda?
14
Nyakati zikiwa nzuri, ufurahi, lakini nyakati zikiwa mbaya, tafakari: Mungu amefanya hiyo moja, naam, sanjari na hiyo nyingine. Kwa hiyo, mwanadamu hawezi kugundua kitu chochote kuhusu maisha yake ya baadaye.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options