Skip to content
Mhubiri 3:9-13

Mhubiri 3:9-13

9
Mfanyakazi anapata faida gani kutokana na taabu yake?
10
Nimeona mzigo Mungu alioweka juu ya wanadamu.
11
Amefanya kila kitu kiwe kizuri kwa wakati wake. Pia ameiweka hiyo milele katika mioyo ya wanadamu, wala hawawezi kutambua kwa kina yale ambayo Mungu amefanya tangu mwanzo hadi mwisho.
12
Ninajua kwamba hakuna kitu bora kwa wanadamu kuliko kuwa na furaha na kutenda mema wakati wanapoishi.
13
Tena ni karama ya Mungu kila mtu apate kula na kunywa na kujiburudisha kwa mema katika kazi yake yote.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options