Rukia maudhui
Mhubiri 12:9-11

Hekima na Mafundisho ya Mhubiri

Mhubiri 12:9-11
9
Mhubiri hakuwa tu na hekima, bali aliwagawia watu maarifa pia. Alitafakari na kutafiti na akaweka katika utaratibu mithali nyingi.
10
Mhubiri alitafiti ili kupata maneno sahihi na kila alichoandika kilikuwa sawa na kweli.
11
Maneno ya wenye hekima ni kama mchokoro, mithali zao zilizokusanywa pamoja ni kama misumari iliyogongomewa ikawa imara, yaliyotolewa na Mchungaji mmoja.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options