Skip to content
Mhubiri 11:3-4

Mhubiri 11:3-4

3
Kama mawingu yamejaa maji, hunyesha mvua juu ya nchi. Kama mti ukianguka kuelekea kusini au kuelekea kaskazini, mahali ulipoangukia, hapo ndipo utakapolala.
4
Yeyote atazamaye upepo hatapanda, yeyote aangaliaye mawingu hatavuna.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options