Skip to content
Mhubiri 10:1-3

Uzito wa Upumbavu na Hekima

Mhubiri 10:1-3
1
Kama vile nzi waliokufa huacha harufu mbaya kwenye manukato, ndivyo upumbavu kidogo huzidi nguvu hekima na heshima.
2
Moyo wa mwenye hekima huelekea kuume, lakini moyo wa mpumbavu huelekea kushoto.
3
Hata anapotembea barabarani, mpumbavu hukosa ufahamu na kudhihirisha kwa kila mmoja jinsi alivyo mpumbavu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options