Skip to content
Mhubiri 9:17-18

Mhubiri 9:17-18

17
Maneno ya utulivu ya mwenye hekima husikiwa kuliko makelele ya mtawala wa wapumbavu.
18
Hekima ni bora kuliko silaha za vita, lakini mwenye dhambi mmoja huharibu mema mengi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options