Rukia maudhui
Kumbukumbu 6:13-16

Kumbukumbu 6:13-16

13
Utamcha Bwana Mungu wako, na umtumikie yeye peke yake na kuapa kwa jina lake.
14
Usifuate miungu mingine, miungu ya mataifa yanayokuzunguka;
15
kwa kuwa Bwana Mungu wako, ambaye yuko katikati yako, ni Mungu mwenye wivu na hasira yake itawaka dhidi yako, naye atakuangamiza kutoka uso wa nchi.
16
Usimjaribu Bwana Mungu wako kama ulivyofanya huko Masa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options