Skip to content
Kumbukumbu 32:39-41

Kumbukumbu 32:39-41

39
“Tazama basi, Mimi mwenyewe, Mimi Ndiye! Hakuna mungu mwingine ila Mimi. Mimi ninaua na Mimi ninafufua, Mimi nimejeruhi na Mimi nitaponya, wala hakuna awezaye kuokoa kutoka mkononi mwangu.
40
Ninainua mkono wangu kuelekea mbinguni na kusema: Hakika kama niishivyo milele,
41
wakati ninapounoa upanga wangu unaometameta na mkono wangu unapoushika ili kutoa hukumu, nitalipiza kisasi juu ya adui zangu na kuwalipiza wale wanaonichukia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options