Skip to content
Kumbukumbu 32:24-25

Kumbukumbu 32:24-25

24
Nitatuma njaa kali dhidi yao maradhi mabaya, yateketezayo na tauni ya kufisha; nitawapelekea meno makali ya wanyama mwitu, na sumu ya nyoka wale watambaao mavumbini.
25
Barabarani upanga utawakosesha watoto; nyumbani mwao hofu itatawala. Vijana wao wa kiume na wa kike wataangamia, pia watoto wachanga na wazee wenye mvi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options