Skip to content
Kumbukumbu 32:19-20

Kumbukumbu 32:19-20

19
Bwana akaona hili, akawakataa, kwa sababu alikasirishwa na wanawe na binti zake.
20
Akasema, “Nitawaficha uso wangu, nami nione mwisho wao utakuwa nini, kwa kuwa wao ni kizazi kilichopotoka, watoto ambao si waaminifu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options