Kumbukumbu 32:1-3
1
Sikilizeni, enyi mbingu, nami nitasema; sikia, ee nchi, maneno ya kinywa changu.
2
Mafundisho yangu na yanyeshe kama mvua, na maneno yangu na yashuke kama umande, kama manyunyu juu ya majani mabichi, kama mvua tele juu ya mimea myororo.
3
Nitalitangaza jina la Bwana. Naam, sifuni ukuu wa Mungu wetu!
Settings