Skip to content
Kumbukumbu 25:17-19

Kumbukumbu 25:17-19

17
Kumbuka kile Waamaleki walichowatendea mlipokuwa njiani mkitoka Misri.
18
Wakati mlipokuwa mmechoka na kuishiwa nguvu kwa safari yenu, wakawapiga wale wote waliokuja nyuma. Waamaleki hawakumwogopa Mungu.
19
Bwana Mungu wako atakapokupa pumziko mbali na adui zako wote wanaokuzunguka katika nchi akupayo kuimiliki kuwa urithi, utafutilia mbali kumbukumbu lote la Waamaleki chini ya mbingu. Usisahau!
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options