Skip to content
Kumbukumbu 25:17-18

Kumbukumbu 25:17-18

17
Kumbuka kile Waamaleki walichowatendea mlipokuwa njiani mkitoka Misri.
18
Wakati mlipokuwa mmechoka na kuishiwa nguvu kwa safari yenu, wakawapiga wale wote waliokuja nyuma. Waamaleki hawakumwogopa Mungu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options