Skip to content
Kumbukumbu 24:17-19

Kumbukumbu 24:17-19

17
Usipotoshe hukumu ya mgeni au yatima, au kuchukua vazi la mjane kama rehani.
18
Kumbukeni kwamba mlikuwa watumwa huko Misri, naye Bwana Mungu wenu akawakomboa kutoka huko. Hii ndiyo sababu ninawaamuru kutenda hili.
19
Unapovuna shamba lako na ukasahau mganda, usirudi kuuchukua. Acha kwa ajili ya mgeni, yatima na mjane, ili Bwana Mungu wako aweze kukubariki wewe katika kazi zote za mikono yako.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options