Skip to content
Kumbukumbu 24:17-18

Kumbukumbu 24:17-18

17
Usipotoshe hukumu ya mgeni au yatima, au kuchukua vazi la mjane kama rehani.
18
Kumbukeni kwamba mlikuwa watumwa huko Misri, naye Bwana Mungu wenu akawakomboa kutoka huko. Hii ndiyo sababu ninawaamuru kutenda hili.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options