Skip to content
Kumbukumbu 23:21-23

Kumbukumbu 23:21-23

21
Ukiweka nadhiri kwa Bwana Mungu wako, usichelewe kuitimiza, kwa kuwa Bwana Mungu wako atakudai, nawe utakuwa na hatia ya dhambi.
22
Lakini ukijizuia kuweka nadhiri, hutakuwa na hatia.
23
Chochote kitakachotamkwa kwa midomo yako ni lazima uhakikishe umekifanya, kwa sababu uliweka nadhiri yako kwa hiari mbele za Bwana Mungu wako kwa kinywa chako mwenyewe.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options