Skip to content
Kumbukumbu 23:24-25

Haki za Mavuno na Kuokota

Kumbukumbu 23:24-25
24
Kama ukiingia katika shamba la mizabibu la jirani yako, unaweza kula zabibu kadiri utakavyo, lakini usiweke chochote kwenye kikapu chako.
25
Kama ukiingia katika shamba la nafaka la jirani yako, unaweza kukwanyua kwa mikono yako, lakini usikate kwa mundu nafaka iliyosimama.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options