Rukia maudhui
Kumbukumbu 18:18-19

Kumbukumbu 18:18-19

18
Nitawainulia nabii kama wewe kutoka miongoni mwa ndugu zao; nitaweka maneno yangu kinywani mwake, naye atawaambia kila kitu nitakachomwamuru.
19
Kama mtu yeyote hatasikiliza maneno yangu ambayo huyo nabii atayasema kwa Jina langu, mimi mwenyewe nitamwajibisha.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options