Rukia maudhui
Kumbukumbu 17:12-13

Kumbukumbu 17:12-13

12
Mwanaume atakayeonyesha dharau kwa mwamuzi au kwa kuhani ambaye amewekwa kumtumikia Bwana Mungu wenu lazima auawe. Lazima mwondoe uovu katika Israeli.
13
Watu wote watasikia na kuogopa, nao hawatakuwa wenye kudharau tena.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options