Skip to content
Danieli 6:21-22

Danieli 6:21-22

21
Danieli akajibu, “Ee mfalme, uishi milele!
22
Mungu wangu alimtuma malaika wake, naye akafunga vinywa vya hawa simba. Hawajanidhuru, kwa sababu nilionekana sina hatia mbele zake. Wala kamwe sijafanya jambo lolote baya mbele yako, ee mfalme.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options