Skip to content
Danieli 2:20-21

Danieli 2:20-21

20
na akasema: “Lihimidiwe jina la Mungu milele na milele; hekima na uweza ni vyake.
21
Yeye hubadili nyakati na majira; huwaweka wafalme na kuwaondoa. Huwapa hekima wenye hekima, na maarifa wenye ufahamu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options