Skip to content
Danieli 2:1-4

Danieli 2:1-4

1
Katika mwaka wa pili wa utawala wake, Nebukadneza aliota ndoto. Mawazo yake yakasumbuka na hakuweza kulala.
2
Hivyo mfalme akawaita waganga, wasihiri, wachawi na wanajimu ili wamwambie ndoto yake aliyokuwa ameota. Walipoingia ndani na kusimama mbele ya mfalme,
3
akawaambia, “Niliota ndoto inayonisumbua, nami nataka nijue maana yake.”
4
Ndipo wanajimu wakamjibu mfalme kwa lugha ya Kiaramu, “Ee mfalme, uishi milele! Waambie watumishi wako hiyo ndoto, nasi tutaifasiri.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options