Skip to content
Wakolosai 3:5-6

Wakolosai 3:5-6

5
Kwa hiyo, ueni kabisa chochote kilicho ndani yenu cha asili ya kidunia: yaani uasherati, uchafu, tamaa mbaya, mawazo mabaya na ulafi, ambayo ndiyo ibada ya sanamu.
6
Kwa sababu ya mambo haya, ghadhabu ya Mungu inakuja.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options