Skip to content
Wakolosai 3:14-15

Wakolosai 3:14-15

14
Zaidi ya maadili haya yote jivikeni upendo, ambao ndio unaofunga kila kitu pamoja katika umoja mkamilifu.
15
Amani ya Kristo na itawale mioyoni mwenu, kwa kuwa ninyi kama viungo vya mwili mmoja mmeitiwa amani. Tena kuweni watu wa shukrani.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options