Skip to content
Wakolosai 2:6-7

Wakolosai 2:6-7

6
Hivyo basi, kama vile mlivyompokea Kristo Yesu kuwa Bwana, endeleeni kukaa ndani yake,
7
mkiwa na mizizi, na mmejengwa ndani yake, mkiimarishwa katika imani kama mlivyofundishwa, na kufurika kwa wingi wa shukrani.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options