Skip to content
Amosi 3:3-6

Amosi 3:3-6

3
Je, watu wawili hutembea pamoja wasipokubaliana kufanya hivyo?
4
Je, simba hunguruma katika kichaka wakati hana mawindo? Aweza kuvuma katika pango wakati ambao hajakamata chochote?
5
Je, ndege aweza kuanguka kwenye mtego ulio ardhini ambapo hajategewa chambo? Je, mtego unaweza kufyatuka toka ardhini wakati ambapo hakuna chochote cha kunasa?
6
Je, tarumbeta inapopigwa mjini kujulisha hatari, watu hawatetemeki? Mji upatwapo na maafa, je, si Bwana amesababisha?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options