Rukia maudhui
Amosi 2:4-5

Hukumu Juu ya Yuda

Amosi 2:4-5
4
Hili ndilo asemalo Bwana: “Kwa dhambi tatu za Yuda, hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu. Kwa sababu wameikataa sheria ya Bwana na hawakuzishika amri zake, kwa sababu wamepotoshwa na miungu ya uongo, miungu ambayo babu zao waliifuata.
5
Nitatuma moto juu ya Yuda ambao utateketeza ngome za Yerusalemu.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options