Amosi 2:14-16
14
Mkimbiaji hodari hatanusurika, wenye nguvu wataishiwa nguvu zao, na shujaa hataweza kuokoa maisha yake.
15
Mpiga upinde atakimbia, askari wapiga mbio hawataweza kutoroka, na mpanda farasi hataokoa maisha yake.
16
Hata askari walio mashujaa sana siku hiyo watakimbia uchi,” asema Bwana.