Skip to content
Amosi 2:13-16

Amosi 2:13-16

13
“Sasa basi, nitawaponda kama gari lipondavyo wakati limejazwa nafaka.
14
Mkimbiaji hodari hatanusurika, wenye nguvu wataishiwa nguvu zao, na shujaa hataweza kuokoa maisha yake.
15
Mpiga upinde atakimbia, askari wapiga mbio hawataweza kutoroka, na mpanda farasi hataokoa maisha yake.
16
Hata askari walio mashujaa sana siku hiyo watakimbia uchi,” asema Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options